Nafasi Ya Kazi: Binti wa Dukani (Bidhaa Za Urembo) – Mwanza – October 2025

  • Full Time
  • Mwanza

Duka la Bidhaa za Urembo

NAFASI YA KAZI: BINTI WA DUKANI (BIDHAA ZA UREMBO)

Tunatafuta binti mchapa kazi na mkweli, mwenye shauku ya kujifunza na kutoa huduma bora kwa wateja, ili ajiunge na timu yetu katika duka la bidhaa za urembo.

Sifa Muhimu:

  • Umri: Miaka 18 – 26.
  • Elimu: Amemaliza kidato cha nne (Form 4).
  • Dini: Mkristo.
  • Eneo: Kilimahewa, Mwanza.

Kazi na Majukumu:

  • Kupanga na kuuza bidhaa za urembo.
  • Kuhudumia wateja kwa ufanisi na uaminifu.
  • Kuhakikisha usafi na mpangilio wa duka.

Mshahara:

Mshahara utazungumzwa na kukubaliana na mwajiri.

Jinsi ya Kuomba:

Kwa wale mnaokidhi vigezo tajwa, tafadhali wasiliana nasi kwa namba: 0787726300.

Fursa hii ni kwa wakazi wa Kilimahewa , Mwanza au Maeneo ya Karibu na Kilimahewa pekee.

Gee Decor Mwanza TZ : Your style, your home!


Soma:  Jinsi ya Kuanza Kujiajiri Tanzania

Soma pia:  Jinsi ya Kujiajiri Tanzania Kupitia Huduma za Usafishaji: Ofisi, Nyumba, Magari

See: What a Recruiter is Suggesting Regarding your CV !

See also: CV Writing Services

See also:  How to Write a Cover Letter That Actually Gets Read

View More Job Vacancies in Mwanza Region Here

For More up to date Opportunities Updates :

Tap / Click Here to Follow the Fursa Opportunities channel on WhatsApp

Spread the love